• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua-pepe za Watumishi |
MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MAKUWASA)
MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MAKUWASA)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MAKAMBAKO (MAKUWASA)

  • Mwanzo
    • Dira na Dhima
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Wasiliana nasi
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Organisation Structure
    • Idara
      • Technical
      • Commercial
      • Financial and Administration
    • Vitengo
      • Production and Distribution
      • Repair and Maintanance
      • Billing Section
      • Procurement and Supply
      • Planning and Construction
      • Credit Control
      • Customer Services
      • Internal Audit
  • Huduma Zetu
    • Production and Supply
    • Consultation and Advisor
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Budgets
    • Regulations
    • Newsletter
    • Fomu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video Gallary

Wasifu

Mh. Iddy White Mwinuka
Mwenyekiti wa Bodi

Ndg.Iddy White Mwinuka ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Makambako(MAKUWASA) aliyeteuliwa na ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mnamo Semtemba 1,2016 kwa mujibu wa sheria ya maji ya mwaka 2009.

Kabla ya hapo alikuwa mjumbe wa Bodi hiyo miaka sita (6)  iliyopita.Pia amewahi kushika nyazifa mbali mbali katika jamii kwa vipindi tofauti tofauti kama vile,Mjumbe wa bodi ya sekondari ya Wanging’ombe kwa muda wa miaka nane,Deo Sanga sekondari miaka mine,Kipagamo sekondari miaka nane,Katibu wa TCCIA wilaya ya Njombe ,Meneja wa Makambako SACCOS kwa muda wa miaka sita.

Mh.Iddy White Mwinuka alizaliwa mwaka 1961 katika kituo cha afya cha Kipengere kata ya Kipengere wilaya ya Wanging’ombe Mkoa wa Njombe,Mh.Mwenyekiti amepata elimu mbali mbali katika shule mbali mbali ikiwemo shule ya msingi kuanzia mwaka 1971 hadi mwaka 1978 katika shule ya msingi Kipengere ,elimu ya seondari kuanzia mwaka 1979 hadi mwaka 1982 katika shule ya sekondari Njombe ,elimu ya juu kuanzia mwaka 1983 hadi mwaka 1985 katika sekondari ya Ndanda Mtwara. Mwaka 1985 hadi mwaka 1986 mwenyekiti alijiunga na jeshi la kujenga taifa kwa mujibu wa sheria.

Mwaka 1987 hadi 1994 mwenyekiti aliajiriwa na kiwanda cha karatasi Mufindi cha Southern  paper Mills (SPM) katika idara ya Manunuzi,akiwa  kazini alifanikiwa kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya ngazi ya cheti hadi kufikia stashahada ya ugavi kuanzia mwaka 1991 hadi 1994.Baada ya hapo kwa hiari yake aliamua kuacha kazi na kuendelea na ajira binafsi ambayo mpaka sasa anajishughulisha na biashara ya vifaa vya ujenzi (Hardware) akiwa katika shughuli hiyo aliendelea kuongoza na kusimamia shughuli za kijamii kama vile uenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Makambako,Mjumbe  wa bodi ya shule Wanging’ombe  na Ukatibu wa TCCIA Wilaya ya Njombe.

Matangazo

  • Kukatika kwa Maji November 14, 2018
  • Tangazo la Ajira November 16, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ufungaji wa Pamp chanzo cha Bwawani

    November 14, 2018
  • Shilingi Bil. 2.4 Kuboresha Mradi wa Maji Makambako

    November 13, 2018
  • Angalia zote

Video

Majimakambako
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Wizara ya Maji
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Makambako

    Anuani ya posta: P.O.Box 940 Makambako

    Simu: +255 262730407

    Simu ya kiganjani: 08000750041

    Baruapepe za Watumishi: md@makuwa.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Sera ya faragha

Copyright ©2018 Makuwasa . All rights reserved.