• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua-pepe za Watumishi |
MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MAKUWASA)
MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (MAKUWASA)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MAKAMBAKO (MAKUWASA)

  • Mwanzo
    • Dira na Dhima
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Wasiliana nasi
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Organisation Structure
    • Idara
      • Technical
      • Commercial
      • Financial and Administration
    • Vitengo
      • Production and Distribution
      • Repair and Maintanance
      • Billing Section
      • Procurement and Supply
      • Planning and Construction
      • Credit Control
      • Customer Services
      • Internal Audit
  • Huduma Zetu
    • Production and Supply
    • Consultation and Advisor
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taarifa
    • Budgets
    • Regulations
    • Newsletter
    • Fomu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video Gallary

Kazi za Idara ya Biashara

SHUGHULI ZA IDARA YA BIASHARA

  • Kusaliji wateja kwaajili ya maunganisho mapya ya maji.
  • Kusoma mita na kutoa bill kwa wateja kwa kila mwezi.
  • Kutoa ushauri kwa wateja unapohitajika kuhusu huduma  ya maji Makambako.
  • Kufanya oparesheni mbalimbali zinazohusu  wizi au kuhujumu miundo mbinu ya maji.
  • Kukata au kusitisha huduma ya maji kwa wateja wanaodaiwa bill za maji.
  • Kupokea na kutatua malalamiko ya wateja yanayohusu huduma ya  maji Makambako.
  • Kuhakikisha  wateja wanalipa bill za maji kwa kila mwezi.
  • Kuandaa  taarifa za kila mwezi, robo ya mwaka na mwaka zinazohusu kitengo cha biashara na kuwasilisha  katika sehemu mbali mbali kama EWURA, Ofisi ya RAS na Wizara ya Maji.
  • Kukusanya maduhuri yanayohusu mauzo ya maji na mapato mengine yanayohusu huduma ya maji.
  • Kubuni na kutafiti njia nyingine za kuongeza mapato.
  • Kuhamasisha wananchi wa Makambako kujiunga na huduma ya maji safi.

Matangazo

  • Kukatika kwa Maji November 14, 2018
  • Tangazo la Ajira November 16, 2018
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • Ufungaji wa Pamp chanzo cha Bwawani

    November 14, 2018
  • Shilingi Bil. 2.4 Kuboresha Mradi wa Maji Makambako

    November 13, 2018
  • Angalia zote

Video

Majimakambako
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Sanaa la Taifa
  • Wizara ya Maji
  • Dirisha la Hati ya Mshahara
  • Dirisha la Watumishi

Viunganishi Linganifu

  • Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Makambako

    Anuani ya posta: P.O.Box 940 Makambako

    Simu: +255 262730407

    Simu ya kiganjani: 08000750041

    Baruapepe za Watumishi: md@makuwa.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

Counter Widgets

    • Kanusho
    • Sera ya faragha

Copyright ©2018 Makuwasa . All rights reserved.