Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MAKAMBAKO (MAKUWASA)
Kusaliji wateja kwaajili ya maunganisho mapya ya maji.
Kusoma mita na kutoa bill kwa wateja kwa kila mwezi.
Kutoa ushauri kwa wateja unapohitajika kuhusu huduma ya maji Makambako.
Kufanya oparesheni mbalimbali zinazohusu wizi au kuhujumu miundo mbinu ya maji.
Kukata au kusitisha huduma ya maji kwa wateja wanaodaiwa bill za maji.
Kupokea na kutatua malalamiko ya wateja yanayohusu huduma ya maji Makambako.
Kuhakikisha wateja wanalipa bill za maji kwa kila mwezi.
Kuandaa taarifa za kila mwezi, robo ya mwaka na mwaka zinazohusu kitengo cha biashara na kuwasilisha katika sehemu mbali mbali kama EWURA, Ofisi ya RAS na Wizara ya Maji.
Kukusanya maduhuri yanayohusu mauzo ya maji na mapato mengine yanayohusu huduma ya maji.
Kubuni na kutafiti njia nyingine za kuongeza mapato.
Kuhamasisha wananchi wa Makambako kujiunga na huduma ya maji safi.